Banda letu lipo Jakaya Kikwete chumba no 31 na 32. Karibu kwenye banda letu upate huduma zifuatazo;
- Ushauri wa Madaktari bingwa wa Ubongo, mgongo na mishipa ya fahamu
- Ushauri wa magonjwa ya ndani
- Kupima uzito, urefu, na BMI bure
- Ushauri wa mazoezi tiba bure
- Ushauri wa viungo bandia bure
- Ushauri wa tiba lishe bure