Karibu ujisomee jarida la MOI mpya kutoka Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili- MOI linalokuhabarisha zaidi kuhusu huduma mbalimbali zinazotolewa MOI.
Waziri wa afya atoa wito kwa waliopoteza miguu, mikono kuchangamkia fursa ya viungo bandia 600 vinavyotolewa bure